Current Job Vacancies
NURSE/MIDWIFE (MUUGUZI NA MKUNGA DARAJA LA II) NAFASI (1)
a) SIFA ZA MWOMBAJI
• Awe na cheti cha kidato cha nne au kidato cha sita, Astashahada
((EN) Enrolled Nurse) na Stashahada ((ANO) Assistant Nursing
Officer) ya Nursing and Midwifery kutoka chuo kinachotambulika na
NACTE.
• Awe amesajiliwa na Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC)
• Awe na leseni hai ya kufanya kazi (Valid Practicing license)
• Uzoefu wa kazi ya uuguzi katika mazingira ya vijijini utapewa
kipaumbele
• Maadili mema, uwezo wa kufanya kazi kwa timu na kuhudumia kwa
huruma.
b) MAJUKUMU YA KAZI
• Kutoa huduma za uuguzi kwa wagonjwa wa aina mbalimbali
kwa kufuata miongozo ya kitabibu
• Kutoa huduma za Afya ya uzazi kwa wanawake wajawazito
kabla na baada ya kujifungua.
inayotoa huduma za afya kwa jamii ya Ngorongoro na maeneo ya jirani.
Deadline: 14th October 2025
Apply Now Read MoreRADIOLOGY TECHNICIAN/RADIOGRAPHER (MTAALAMU WA MIONZI) NAFASI 1)
a) SIFA ZA MWOMBAJI
• Awe na cheti cha kidato cha nne au kidato cha sita, Diploma ya Radiology/Medical Imaging kutoka chuo kinachotambulika
• Awe amesajiliwa na Baraza la wataalamu wa mionzi Tanzania
• Awe na leseni halali ya kazi
• Awe na Ujuzi wa kutumia mashine za digital X-ray, Utrasound
• Awe na Uwezo wa kufanya kazi kwa kujitegemea na kwa kufuata maadili ya kazi
b) MAJUKUMU YA KAZI
• Kuchukua picha za ndani ya mwili wa binadamu kwa kutumia mionzi (kama X-ray).
• Kumwandaa na kumuelekeza mgonjwa kabla na wakati wa upigaji wa picha
• Kuhakikisha usalama wa mgonjwa dhidi ya madhara ya mionzi kwa kutumia vifaa vya kujikinga na kudhibiti kiasi cha mionzi kinachotumika.
• Kuendesha na kudhibiti vifaa vya mionzi ili kuhakikisha vinafanya kazi kwa usahihi.
• Kuhifadhi na kuwasilisha picha na taarifa za uchunguzi kwa wataalamu husika.
• Kudumisha usiri na heshima kwa wagonjwa.
Deadline: 1st October 2025
Apply Now Read More