We Are Celebrating 60 years (Diamond) Jubilee!
Monday - Sunday, 24 hrs
Call us now +255 685 487 936

Current Job Vacancies

NURSE/MIDWIFE (MUUGUZI NA MKUNGA DARAJA LA II) NAFASI (1)

a) SIFA ZA MWOMBAJI

• Awe na cheti cha kidato cha nne au kidato cha sita, Astashahada

((EN) Enrolled Nurse) na Stashahada ((ANO) Assistant Nursing

Officer) ya Nursing and Midwifery kutoka chuo kinachotambulika na

NACTE.

• Awe amesajiliwa na Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC)

• Awe na leseni hai ya kufanya kazi (Valid Practicing license)

• Uzoefu wa kazi ya uuguzi katika mazingira ya vijijini utapewa

kipaumbele

• Maadili mema, uwezo wa kufanya kazi kwa timu na kuhudumia kwa

huruma.

b) MAJUKUMU YA KAZI

• Kutoa huduma za uuguzi kwa wagonjwa wa aina mbalimbali

kwa kufuata miongozo ya kitabibu

• Kutoa huduma za Afya ya uzazi kwa wanawake wajawazito

kabla na baada ya kujifungua.

inayotoa huduma za afya kwa jamii ya Ngorongoro na maeneo ya jirani.

Deadline: 14th October 2025

Apply Now Read More
RADIOLOGY TECHNICIAN/RADIOGRAPHER (MTAALAMU WA MIONZI) NAFASI 1)

a) SIFA ZA MWOMBAJI

• Awe na cheti cha kidato cha nne au kidato cha sita, Diploma ya Radiology/Medical Imaging kutoka chuo kinachotambulika

• Awe amesajiliwa na Baraza la wataalamu wa mionzi Tanzania

• Awe na leseni halali ya kazi

• Awe na Ujuzi wa kutumia mashine za digital X-ray, Utrasound

• Awe na Uwezo wa kufanya kazi kwa kujitegemea na kwa kufuata maadili ya kazi

b) MAJUKUMU YA KAZI

• Kuchukua picha za ndani ya mwili wa binadamu kwa kutumia mionzi (kama X-ray).

• Kumwandaa na kumuelekeza mgonjwa kabla na wakati wa upigaji wa picha

• Kuhakikisha usalama wa mgonjwa dhidi ya madhara ya mionzi kwa kutumia vifaa vya kujikinga na kudhibiti kiasi cha mionzi kinachotumika.

• Kuendesha na kudhibiti vifaa vya mionzi ili kuhakikisha vinafanya kazi kwa usahihi.

• Kuhifadhi na kuwasilisha picha na taarifa za uchunguzi kwa wataalamu husika.

• Kudumisha usiri na heshima kwa wagonjwa.

Deadline: 1st October 2025

Apply Now Read More